SHEREHE YA KUAGA WAJUMBE WA BODI - IJA
Mwenyekiti wa Bodi anayemaliza muda wake,
Mhe. Balozi Paul M. Rupia akitoa maelezo ya utangulizi
*****
Jaji Kiongozi, Mhe. Fakihi A.R. Jundu
akiwahutubia wageni waalikwa na watumishi wa chuo
****
Katibu wa Bodi na Mkuu wa chuo (IJA)
Mhe. Jaji E.M.E. Mushi akisoma taarifa ya chuo
****
Mhe. Balozi Rupia alipokata utepe wa jiwe la msingi
****
Mhe. Balozi Paul Rupia akipanda mti!
*****
Kutoka kushoto: Mhe. JK; Mhe. Balozi Rupia;
Bw. Mgina; Bw. Esanju; na Mhe. Jaji Mushi
*****
Mhe. JK akijadili jambo na Mkurugenzi wa Mafunzo Bw. Ntemi******
Wajumbe wa Bodi ya chuo wakiwa ktk picha ya pamoja
Wajumbe wa Bodi ya chuo: kutoka kulia - Bi. H. Sheikh;
Prof. S. E. Mchome; na Mhe. Balozi A. H. Mshangama (Mb)
******